CHOICE FM NA AFRICAN LYON WAINGIA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO KATIKA KUKUZA VIPAJI NA KUBORESHA MISINGI YA UENDESHAJI WA TIMU.


1Mtangazaji  wa Choice Fm cha Dar es Salaam, Jimmy Kabwe (katikati), akizungumza na waandishi wa habari  jijini Dar es Salaam wakati wa hafla yakuingia makubaliano kati ya Timu ya mpira wa miguu ya African Lyon inayoshiriki ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom Premier League) na kituo cha radio cha Choice FM 102.5, juu ya ushirikiano katika kukuza vipaji na kuboresha misingi ya uendeshaji wa timu, wengine kushoto kwake alievaa kanzu ni Mmiliki wa klabu ya African LyonRahim Kangezi, na Mkuu wa Vipindi Choice FM, Antonio Nugaz, Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Choice FM .3Mkuu wa Vipindi Choice FM, Antonio Nugaz (kulia) akitolea ufafanuzi makubaliano hayo ambapo amesema yanalenga kujenga mazingira ya kuweza kutambua na kuvikuza vipaji vya wanamichezo hasa wale wa mpira wa miguu (kushoto), Mmiliki wa klabu ya African LyonRahim Kangezi
Amesema  makubaliano hayo yataiwezesha Africani Lyon yenye masikani yake Mbagala kushirikiana na Choice FM katika kuandaa mashindano na programm zinginezo ambazo zitaleta mvuto kwa vipaji vya wanamichezo wa Kike na Kiume.
4Mmiliki wa klabu ya African LyonRahim Kangezi (katikati), akitoa neno la shukrani kwa kituo cha radio cha Choice FM 102.5 mara baada ya kuingia makubaliano .
5Mmiliki wa klabu ya African LyonRahim Kangezi, na Captain African Lyon, Baraka Jafari (Nyaka) wakikabidhiwa jezi wakati wa hafla yakuingia makubaliano kati ya Timu ya mpira wa miguu ya African Lyon inayoshiriki ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom Premier League) na kituo cha radio cha Choice FM 102.5, juu ya ushirikiano katika kukuza vipaji na kuboresha misingi ya uendeshaji wa timu.

Comments

Popular posts from this blog

ZINGATIA HAYA UKITAKA KURUDIANA NA MPENZI WAKO WA ZAMANI

ALAMA YA NYOKA KWENYE NEMBO MBALIMBALI INA MAANA KUBWA

IPI ZAWADI SAHIHI KWA MAHARUSI?