MKUU WA WA MAJESHI AFUKUZWA KAZI GAMBIA


Gambia
Image captionMkuu wa majeshi Ousman Badjie afutwa kazi Gambia

Rais wa Gambia Adama Barrow amemfuta kazi mkuu wa majeshi Jenerali Ousman Badjie.
Jenerali Badjie alitangaza utiifu wake kwa rais aliyeondoka madarakani Yahya Jammeh baada ya uchaguzi wa Disemba ulioleta vuta nikuvute.
Hata hivyo, chini ya amri yake, jeshi halikutoa msaada wowote pindi vikosi kutoka nchi za Afrika Magharibi vilipoingia nchini Gambia mwezi jana.
Vikosi hivyo vilifanikiwa katika kumshawishi bwana Jammeh kukubali kushindwa na kuondoka nchini.

Comments

Popular posts from this blog

Makala : Fahamu Kuhusu Ndumba Za Kichawi Na Jinsi Ya Kujikinga Nazo.

ALAMA YA NYOKA KWENYE NEMBO MBALIMBALI INA MAANA KUBWA

ZINGATIA HAYA UKITAKA KURUDIANA NA MPENZI WAKO WA ZAMANI