Picha: Young Dee apatana na Max Rioba?, washare picha wakiwa pamoja..!!

Jumatano hii litapatikana jibu la kama ni kweli rapper Young Dee amepatana na boss wake wa zamani Max Rioba baada ya wawili hao kugombana miezi kadhaa iliyopita na kila mmoja kufanya kazi kivyake.

Jumapili hii wawili hao walishare picha katika mtandao wa kijamii na kila mmoja kuandika ujumbe wa ‘Happyfathersday#tuongeejumatano’ kauli ambayo imefurahiwa na mashabiki wengi.

Ugomvi wa Young Dee na bosi wake Max Rioba uliibua mambo mengi likiwemo la madai ya rapper huyo kuhusishwa na matumizi ya Madawa ya kulevya.

Haya ni maoni ya baadhi ya mashabiki wa kwenye mitandao baada ya kuona ujumbe huyo.

Alfredmbuya.
Am Gud kam humejitambua xamtimes kampan mbaya huchangia kukupoteza mdogo wang!

Saidmashua
Nimefurah sana mwanangu kurudi kwa max…………hope kila kitu kitaenda saana….!!!

Vituko vya uswazi
Nafulai kama utakua umejitambua kwasababu kati ya wanakuziki wote wenye umri mdogo wwe ndo unapendwa sana sasa tumia iyo Chans vizur usiipoteze tunakupnda xna achana na makundi yakixhenzi yanakuludixha nyuma.

Hellenkazimoto
Maximilian Rioba na Youngdaresalama u two made ma day..im impressed.empire for life

Bravepivot
Hatimaye umerudi kwenye mikono salama, respect kwa @maximilianrioba kweli we ni brother, angepotea uyo chalii

Hemedi20D
umetisha sana hapa nakuelewa sana ww na Max tena sana nmefurah mno kuona hivi I hope mangoma makali yatarudi upya kama enzi zile nmemiss flw zako kali bro

Comments

Popular posts from this blog

ZINGATIA HAYA UKITAKA KURUDIANA NA MPENZI WAKO WA ZAMANI

ALAMA YA NYOKA KWENYE NEMBO MBALIMBALI INA MAANA KUBWA

Waziri Mkuu Ashangazwa Na Kodi Kubwa Soko La Dodoma.....Aagiza Baraza La Madiwani Lipitie Upya Na Kumpa Majibu