BURUNDI YAPOKEA AWAMU YA KWANZA YA WAKIMBIZI KUTOKA TANZANIA

Burundi imepokea wakimbizi 301 wanaorudi kutoka Tanzania, ikiwa ni sehemu moja ya wakimbizi elfu 12 wanaotarajiwa kurudi Burundi kabla ya mwisho wa mwaka huu.
Wakimbizi hao wote wanaotoka kambi ya Nduta mkoani Kigoma, walivuka mpaka kwa msaada wa shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR, chini ya mchakato wa kuwarudisha kwa hiari utakaomalizika tarehe 31 Desemba, mwaka huu.
 
Baada ya kuwapokea wakimbizi hao, msaidizi wa waziri wa mambo ya ndani wa Burundi Bw Terence Ntahiraja ameishukuru Tanzania kwa kuwapokea warundi wanaotafuta hifadhi.

Comments

  1. Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.

    Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya uhusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Matatizo ya utasa au bahati nasibu

    Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali

    Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

DC AWAAGIZA WALIOVAMIA EPZA WAONDOKE.

ALAMA YA NYOKA KWENYE NEMBO MBALIMBALI INA MAANA KUBWA

Makala : Fahamu Kuhusu Ndumba Za Kichawi Na Jinsi Ya Kujikinga Nazo.